Zitakusaidia Kuondoa Chunusi Sugu,Vipele Na Mabaka Baka Uson
Dar es Salaam, Kinondoni, 16/05
1 maoni
Zitakusaidia Kuondoa Chunusi Sugu,Vipele Na Mabaka Baka Uson
+1
Unisex
Jinsia
Face Creams & Gels
Aina
Forever Living
Chapa
Aina zote za ngozi
Aina ya Ngozi
20s+
Masafa ya Umri
Yenye unyevunyevu
Wasiwasi wa Ngozi
Kikaboni, Asili, Safi, Vegan
Uundaji
Zilizopo
Ufungaji
Ukubwa wa Sampuli
Ukubwa
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
Hii ni tube ambayo inasafisha ngozi na kuondoa mabaka mabaka, tango tango, chunusi, rashes, itakuponyesha vidonda vya kwenye ngozi, inaondoa makunyanzi ya uzee(ant ageing) pia hufanya ngozi kuwa soft na kuwa yenye rangi moja ni nzuri sabu imetengenezwa kwa kutumia mimea asilia pia unapotumia tube hii huwa tunashauri utumie na aloe vela gel kwaajili ya kusafisha mwili kwa ndani na kuongeza kinga ya mwili itakayo enda kuleta matokeo mazuri hadi kwenye ngozi yako kwasababu -itaondoa sumu mwilini -itakusaidia kwenye kufyonza virutubisho mwilini -itakusaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula na kukupa faida zingine nyingi