tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Utunzaji wa Uso
  4. Mafuta ya Tishu
  5. Oil Utunzaji wa Uso
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 zilizopita
38 maoni

Tissue Oil

+1
2
Unisex
Jinsia
TISSUE OIL
Aina
TISSUE OIL
Chapa
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Mwinyijuma
Kinondoni Studio, Mwinyijuma Road
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 06:00-23:00
TISSUE OIL ni mafuta yanayotengenezwa na formula maalum yenye virutubisho yanayoenda kuchochea kasi ya utengezwaji wa seli ya ngozi. Hivyo hutumika kama tiba ya; Stretch marks/Michirizi Ufubao wa ngozi. Yaani inakupa rangi moja ya asili yako. Ngozi kavu sana na kupasuka kwa ngozi haswa kipindi cha upepo mkali. Barmley tissue oil Imetajirishwa na Bio-Pharm oil kuimarisha ulinzi wa unyevu wa ngozi usipotezwe na hali ya hewa. Vitamin E oil maalum kwa kufanya repair ya ngozi ili kuondoa kabisa matatizo kwenye ngozi. inaondoa weusi mapajani,magotini . ni mafuta mepesi unaweza paka kwenye ngozi nywele,kucha nk hufyonzwa haraka sana ukiyapaka hivyo hayanati kwenye ngozi. utapata matokeo ya haraka kama utatumia kila siku kwenye ngozi yenye michirizi,dark spots,ngozi kavu,makovu.
Tissue OilTissue Oil
TSh 20,000
11 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif