Habari, je unahangaika muda mrefu kutafuta suluhisho la ngozi yako ya usoni ,unatumia dawa za kila aina lakini huponi ,fahamu suluhisho la kudumu ni kupata combination kwanzia kwenye sabuni kioshea uso na dawa unazotumia, sabuni nyingi huwa zinachochea harara kwasabanu ya wingi wa phosphorus inayobaki kwenye ngozi hivyo utajikuta unaona dawa hazikusaidii kumbe unatibu lakini unaongeza tatizo, sasa kampuni ya aloe vera imekuja na sabuni mathubuti special kwa ngozi zote zenye mafuta au kavu, sabuni hii ni ya maji na imetengenezwa na aloe vera kwa wingi ikichanganywa na ini la ndani la nazi na asali hivyo haiweki mafuta kwenye ngozi bali inaeka unyevu mwingi kwenye ngozi , ina harufu nzuri sana hivyo ukiogea spray inaeza isiwe na haja, ni kubwa na ina uwezo wa kutumika muezi minne mpk mitano, haipaushi na. hukausha chunusi na kubakiza ngozi yako ikiwa na unyevu w kutosha siku nzima