tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Utunzaji wa Uso
  4. Gliserini
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
14 maoni

Sabuni Nzuri Kwa Wale Ambao Wanajichubua Na Cream

+1
Ya Wanaume
Jinsia
Zana za Utunzaji wa Ngozi
Aina
Forever Living
Chapa
Uso
Eneo la Ngozi
Ukubwa wa Sampuli
Ukubwa
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
KWANINI AVOCADO FACE & BODY SOAP Ni sabuni ya parachichi ina na aloevera pia imechanganywa na glycerin ya mafuta ya nazi na mchikichi kwa ajili ya kutunza unyevu na kulainisha ngozi... Zaidi ya hapo ina vitamin A,B,D na E kwa ajili ya kusafisha taka taka kwenye mwili na kuzibua vitundu vya ngozi yako na kuifanya ngozi iweze kupumua vizuri. Ina harufu nzuri ya matunda ya citrus (limao) inayofanya mwili wako unukie vizuri, kukata harufu mbaya ya jasho. Inafaa kutumiwa kwa watu wote, watoto, watuwazima wakike na wakiume. *FAIDA ZAKE.* *kuondoa ngozi ilochoka. *kuzibua vitundu vya ngozi. *kukulinda na magonjwa ya ngozi kama chunusi, harara, muwasho na fangas. *kulainisha ngozi, na kukupa hafufu nzuri... *Uzuri wako unasababu ya kutumia bidhaa zisizo na chemicali ili kulinda afya ya ngozi yako* TUPIGIE KUPATA SABUNI YAKO POPOTE ULIPO,
Sabuni Nzuri Kwa Wale Ambao Wanajichubua Na Cream
TSh 23,000
19 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif