Medix body treatment cream,vitamin C and Tumeric 444mls
Hii ni lotion nzuri sana yaani sanaaa hii ni kiboko ya zote.
Kama unasumbiliwa na chunusi, una darkspots,una hyperpigmentation yaani rangi nyingi kwenye ngozi,una ngozi kavu na ngozi iliyofubaa basi Mkombozi kakufikia.
Haya Sikia
imetengenezwa kwa ph ya 5.5 sawasawa na ph ya ngozi yaani haina allergy na ngozi ya namna yoyote.
HAICHUBUI KABISA ila sasa utaglow balaa mfubao wote utaisha.
ikakaza ngozi yaani inakuwa kama ya kijana mdogo .
inasawazisha rangi na kukupo rangi yako halisi ya ngozi yako moja tu.
Inatoa makunyanzi, madoa na hyperpigmentation nk
inatakatisha na kung'arisha yaani mfubao unasahau.
inatoa makunyanzi na mikunjo ya ngozi.
inarejesha ngozi iliyoharibiwa na cream kali.
package nzuri,ujazo mkubwa wa 444mls sawa na gharama yake.