tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Utunzaji wa Uso
Dar es Salaam, Kinondoni, 08/06
7 maoni

Dawa Ya Vipele Vya Ndevu

+1
Ya Wanaume
Jinsia
Zana za Utunzaji wa Ngozi
Aina
Forever Living
Chapa
Uso
Eneo la Ngozi
Ukubwa wa Sampuli
Ukubwa
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Habari, je ngozi yako huwa inaoata shida sana pale unapomaliza kushave, nkimaanisha ndevu, kwapa, na hata sehemu za siri? changamoto hii inakufanya uww na ngozi iliyoharibika sana kwa kutokwa na vipele na vinavowasha mara baada tu ya kushave, nikutoe shaka watu wengi hudhan kuwa labda vifaa vilivotumika kunyolea sio salama, lakini mara nyingi si kweli ,vipele hutokea kwasababu ya ant bump patrol, hii ni kwamba nywele zinapotaka kuota zinajisokota ndani ya ngozi, na hivyo ngozi kutengeneza kauvimbe kadogo ambacho ndo kipele chenyewe, na kwasababu nywele hiyo inataka kutoka nje inakuwa inawasha. sasa nikutoe shaka tatizo hilo lina kikomo kwa kupata vitamin A kwa wingi kutoka kwenye our products gentle pride, inakausha, inaondoa uvimbe, inaindoa muwasho pamoja na weusi wa ngozi iliyonyolewa, wasiliana nasi hapa074XXXXXXX
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif