Hello, je umekuwa ukijaribu kuibalance ngozi yako isiwe na miwasho, harara au mba, tatizo linaanza kwenye vitu unavyotumia, hususan sabuni nyingi zinaongeza mafuta na phosphorus kwenye ngozi, hivyo utajikuta unajarubu kuondoa chunusi au harara lakini hazitoki, sasa jaribu kutumia sabuni zenye kutengeneza unyevu kwa wingi na pia zisizokuwa na mafuta, aloe liquid soap imetengenezwa na aloe vera kwa wingi hivyo kuifanya iwe na nguvu ya unyevu muda wote na pia haina mafuta ,ina vitamin c nyingi mno hivyo kuwa bora hata ikibaki kwenye ngozi ya uso.