Ovulation test inatumika kupima siku za hatari yaani siku ambayo ovary lime release yai
Mara nyingi ovulation uwa inatokea siku ya 14 toka siku umeingia period na yai ukaa kwenye fallopian tube kwa takribani masaa 24
Hormone inayoitwa luteinizing hormone ndio inayo husika ku trigger ovary kuproduce yai
So hii test inacheck presence ya lutenizing hormone kwenye mkojo
Kwahiyo kwa ambao wana plan ya ku conceive na hawajui siku zao vizuri hii test ni nzuri sana kuwa nayo
Bei yake ni sh elfu 2000 tu
Call/whatsapp:/
Tupo sinza kumekucha near fine travellers hotel