Linda TV yako dhidi ya vibaka na wezi .
Vibration sensor Alarm ni kifaa ambacho kitalinda Tv yako dhidi ya wezi .
Pia mfumo huu wa alarm unaweza kutumika kwenye madirisha na milango ... lala usingizi mnono ukiwa umejihakikishia usalama wa mali zako...
Kifaa hichi kina kaa na chaji mwaka mzima bila kubadilisha baterry (standby time). usisubiri kupata hasara mara mbili ...
Bei ni Tsh 45,000 Tu .
Dar es salaam- makumbusho. Unaletewa popote