Taa hii ina wi-fi system ndani yake, unachomeka line ya simu tu kisha video zote zinaanza kuonekana ktk simu(Live video na recorded video).
Haikuhitaji kuwa na router ili video zako uone kwny simu ukiwa umbali wwte wa nje ya mkoa/wilaya au nchi,kwani tyr cctv camera imeboreshwa na ina mfumo wa ndani wa networking.
Tunafunga camera hizi kwa ulinzi wa maduka,nyumba,biashara na popote.