Hii ni kamera ya kisasa kwa watu wasio na Wi-Fi lakini wanataka ulinzi wa CCTV. Inatumia line ya Vodacom, Airtel, Halotel
au
Yas (Tigo)
hakuna haja ya Wi-Fi. Pia inafanya kazi hata umeme ukikatika kwani ina betri ya ndani. Ina uwezo wa kutumia memory card hadi 128GB kuhifadhi kumbukumbu kwa siku 28. Inazunguka 360°, ina night vision, inasaidia mawasiliano ya pande mbili na inaleta taarifa za harakati kwenye simu yako.
Bei ni 139,999/= tu!