Dual lens ptz 4g camera
ni camera ya kisasa.
zinafaa kwa matumizi ya nyumbani, sehemu za ujenzi na miradi, shuleni, godown, barabarani
inatumia simcard
unaweza kuaccess kupitia app kwenye simu yako ya mkononi hata ukiwa mbali
unaweza kuhifadhi matukio kwa cloudstorage au memory card
ina night vision
ina motion detection
inatumia memory card
360 wide angle
ina rotation mode(inazunguka)
two way audio
ina waterproof
kwa wakazi wa dar es salaam tunafanya huduma ya delivery unaletewa mzigo hadi ulipo kisha ndio unalipia gharama ya bidhaa na usafiri (cash on delivery) na pia mikoani tunatuma kwa njia ya mabasi kwa usalama na uaminifu mkubwa.