Hii ni kamera ya kisasa kwa watu wasio na Wi-Fi lakini wanataka ulinzi wa CCTV. Inatumia line ya Vodacom, Airtel, Halotel au Yas (Tigo) – hakuna haja ya Wi-Fi. Pia inafanya kazi hata umeme ukikatika kwani ina betri ya ndani. Ina uwezo wa kutumia memory card hadi 128GB kuhifadhi kumbukumbu kwa siku 28. Inazunguka 360°, ina night vision, inasaidia mawasiliano ya pande mbili na inaleta taarifa za harakati kwenye simu yako. Bei ni 139,999/= tu!