tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Elektroniki
  3. Usalama na Ufuatiliaji
  4. Kamera ya CCTV
  5. Usalama na Ufuatiliaji
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 2 yaliyopita
15 maoni

Camera Ya 4g Ya Halotel, Yas, Vodacom, Airtel

+1
Kamera ya CCTV
Aina
PTZ
Chapa
Wireless
Muunganisho
360degrees
Kuangalia Angle
360degrees
Pembe ya Mzunguko
Kuza inayoweza kubadilishwa, Utambuzi wa Mwendo, Nuru ya Usiku, Maono ya Usiku, Kurekodi Sauti, Sauti ya Njia Mbili
Vipengele vya Kamera
Chapa Mpya
Hali
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar es salaam
Online orders & delivery 🚚 | Showrooms: Mwenge, Msasani, Kariakoo
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 09:00-18:00
Hii ni kamera ya kisasa kwa watu wasio na Wi-Fi lakini wanataka ulinzi wa CCTV. Inatumia line ya Vodacom, Airtel, Halotel au Yas (Tigo) – hakuna haja ya Wi-Fi. Pia inafanya kazi hata umeme ukikatika kwani ina betri ya ndani. Ina uwezo wa kutumia memory card hadi 128GB kuhifadhi kumbukumbu kwa siku 28. Inazunguka 360°, ina night vision, inasaidia mawasiliano ya pande mbili na inaleta taarifa za harakati kwenye simu yako. Bei ni 139,999/= tu!
TSh 139,999
Bei isiyobadilika
37 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif