Mashine ina print page 120 kwa dakika,ina copy page 120 kwa dakika,ina print kwa simu,ina geuza karatasi(2 sided),ina usb port,ethernet port na wifi.Hii mashine inapiga kazi kubwa kwa muda mchache,mafundi wenye weredi na kazi wapo,mashine zote zina warranty, tunatuma mikoa yote na nchi jirani.Offer zetu box tunafunga bure,usafiri bure ndani ya Dar es salaam wa mikoani tunapeleka mzigo hadi cargo bure na installation bure hata ukiwa mkoani.