Mashine ni nzurii kwa matumizi ya ofisini na stationary, inaprint page 30 kwa dakika,inascan page 30 kwa dakika,inacopy page 30 kwa dakika,ina print kwa simu,inageuza karatasi(2 sided), ina Adf feeder, ina tray 3 pamoja na by pass,ina usb port, ethernet port na wifi,wino wake kuanzia 60k.Mafundi wapo wenye weredi na kazi,Mashine zina warranty tunatuma mikoa yote na nchi jirani kwa gharama za mteja.Offer zetu kufunga box bure,usafiri bure ndani ya Dar es salaam,installation bure hata ukiwa mikoani,wa mikoani tunapeleka bure mpaka kwenye cargo.