tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Elektroniki
  3. Vichapishaji na Scanner
  4. Mashine ya Kunakili
  5. Kyocera Mashine ya Kunakili
  6. Vichapishaji na Scanner
Dar es Salaam, Kinondoni, 26/05
1 maoni

Kyocera Taskalfa 3010 Black and White

+1
Mashine ya Photocopier
Aina
Kyocera
Chapa
Kyocera 3010
Mfano
Laser
Teknolojia ya Uchapishaji
A3 (297 x 420 mm), A4 (210 x 297 mm)
Ukubwa wa Karatasi Unaoungwa mkono
Sanaa nzuri, Glossy, Matte, Wazi, Semi-Gloss, Super High Gloss, Nyingine
Aina za Karatasi Sambamba
Nyeusi/Nyeupe
Rangi
USB, Wi-Fi, Nyingine
Muunganisho
Chapa Mpya
Hali
Mashine ni nzurii kwa matumizi ya ofisini na stationary, inaprint page 30 kwa dakika,inascan page 30 kwa dakika,inacopy page 30 kwa dakika,ina print kwa simu,inageuza karatasi(2 sided), ina Adf feeder, ina tray 3 pamoja na by pass,ina usb port, ethernet port na wifi,wino wake kuanzia 60k.Mafundi wapo wenye weredi na kazi,Mashine zina warranty tunatuma mikoa yote na nchi jirani kwa gharama za mteja.Offer zetu kufunga box bure,usafiri bure ndani ya Dar es salaam,installation bure hata ukiwa mikoani,wa mikoani tunapeleka bure mpaka kwenye cargo.
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif