Mashine ina warranty, inacopy page 33 kwa dakika,inascan page 33 kwa dakika,inaprint page 33 kwa dakika,inageuza karatasi,ina usb port,ina wifi option, ina ethernet port,wino wake kuanzia 25k.Mafundi wenye weredi na kazi wapo,usafiri ndani ya Dar ni bure kwa wale wa mikoani tunatuma mpaka kwenye Cargo bure, installation ni bure ata ukiwa mkoani.Tunatuma mikoa yote na nchi jirani kwa gharama za mteja.