tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Ukarabati na Ujenzi
  3. Vifaa vya Kielektroniki
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 zilizopita
2 maoni

Taa Za 1500W Zinatumia Solar Unakosaje Agiza Uletewe

+1
Solar Lights
Aina
1500watts
Nguvu nyepesi
12V
Volteji ya Ingizo
Brand New
Hali
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 7,000 - 15,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar es salaam
Online orders & delivery 🚚 | Showrooms: Mwenge, Msasani, Kariakoo
Open
• Jumatatu - Jumapili, 09:00-18:00
Unakubali vipi eneo la nyumba yako likae giza kwasababu ya umeme kukatika katika taa hio inatumia sola ni taa ya kijanja sana inajicharge kwanzia asubuhi na kujiwasha kwanzia jioni taa unaweza kufunga kwenye ukuta wa nyumba yako au kwenye fensi ya nyumba yako kwa kutumia nguzo au kwa kuifunga yenye taa ina mwanga mkali sana ni 1500watts auta jutia kutumia taa za kisasa bei poa agiza nyingi upate punguzo la bei kama ni mkazi wa dar es salaam unaletewa kama ni mkazi wa nje ya dar es salaam tunatuma
TSh 150,000
37 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif