tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Ukarabati na Ujenzi
  3. Vifaa vya Kielektroniki
  4. Vipengele vya Kielektroniki na Vitambuzi
  5. Vihisi vya Ukaribu
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 zilizopita
3 maoni

Taa Ya Solar 800w Kwa Maeneo Yasiyo Na Umeme

+1
Sukhig
Chapa
Taa za Biashara
Aina
Chapa Mpya
Hali
Taa za Mtaa za Jua
Aina ndogo
800watts
Nguvu nyepesi
LED
Chanzo cha Mwanga
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar es salaam
Online orders & delivery 🚚 | Showrooms: Mwenge, Msasani, Kariakoo
Open
• Jumatatu - Jumapili, 09:00-18:00
Solar Street Light 800W ni suluhisho la uhakika kwa wanaochoka bili kubwa za umeme na taa za solar zisizodumu. Taa hii ina mwanga mkali wa 8,000–10,000 lumens, unaowaka kwa saa 12–16 mfululizo baada ya kuchajiwa kikamilifu na jua. Inatumia Monocrystalline Solar Panel pamoja na betri imara ya Lithium Iron Phosphate (LiFePO4), inayodumu muda mrefu na kufanya kazi hata kwenye hali ngumu za mazingira. Mfumo wa automatic light control huifanya iwake yenyewe jioni na izime asubuhi, huku PIR motion sensor ikiongeza mwanga mtu au gari linapopita. Taa imejengwa kwa aluminum alloy, ina IP65 waterproof, hivyo inafaa mvua, vumbi na jua kali. Haina waya, haina gharama za umeme, na ufungaji ni rahisi katika urefu wa mita 7–10. Inafaa kwa barabara, geti, viwanja, makazi na biashara. Bei: 145,639 TZS
TSh 145,639
Bei isiyobadilika
37 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif