Taa hii imeundwa kwa mfano wa cctv camera lakini sio camera ivyo itasababisha wezi kuogopa kufanya tukio
Taa ina sifa kama zifuatazo ;
1) ina mwanga mzuri
2) inajiwasha jioni
3) inajizima asubuh kwajili ya chaji
4) kuwaka masaa 12
5) kujichaj masaa 6 hadi 8
6) taa unaweza kuizungusha kwa kutuma rimont
7) taa za sasa ni 10w ni nzur
NB: ikitokea tatizo lolote kuhusu taa unaombwa kutoa taharifa
Delivery tunafanya kwa gharama za mteja
Mikoa yote tunatuma Tanzania nzima
Dar es salaam tunafanya delivery
Kwanzia taa 10 unapata discount