Power station ya 600W yenye betri ya LiFePO4, inachaji haraka na inaweza kuwasha TV, friji ndogo, feni, laptop na taa zaidi ya 20 kwa wakati mmoja.
Inafaa kwa umeme wa dharura nyumbani, safari au sehemu zisizo na umeme wa uhakika.
Inakubali kuchaji kwa umeme wa kawaida au solar na inadhibitiwa kwa App (WiFi/Bluetooth).
Bei: TZS 1,225,000
Lipa Namba: Kimago Solar
Simu: