tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Ukarabati na Ujenzi
  3. Vifaa vya Kielektroniki
  4. Nishati ya Jua na Inayoweza Kurejeshwa
  5. Taa za Sola za Kibiashara
  6. Nishati ya Jua na Inayoweza Kurejeshwa
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 zilizopita
11 maoni

1500w Solar Lights Available Now

+1
Solar Lights
Aina
1500watts
Nguvu nyepesi
12V
Volteji ya Ingizo
Brand New
Hali
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar es salaam
Online orders & delivery 🚚 | Showrooms: Mwenge, Msasani, Kariakoo
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 09:00-18:00
Karibu boss wangu rafiki ujipatie taa nzur za solar umuhimu wa taa za solar unapozifunga unapata mwanga wa taa kwa masaa 12 yani pale tu jua linapozama. Kwanini uendelee kutumia gharama nyingi kwajili ya bili za umeme, taa unaweza kutumia kwa kufunga kwenye eneo la nyumban kwako, viwanja vya michezo, shambani nk. Taa inakuja na vitu gani taa ina kuja na bomba dogo, rimont na natizake za kufungia iyo ndio seti ya taa Warranty ni mwaka 1 Karibu boss wangu Delivery ni kwa gharama za mteja
TSh 330,000
Bei isiyobadilika
37 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif