Hizi bei yake ni 800 tunaandika 1000 kwa sababu hawaruhusu kuandika kiasi kidogo kushuka chini hutumika kama emergency stop kama bomba limepasuka,inazima valve ya line haraka,bila kuzima tank au pump yote na hu-control mbolea ya maji kama unaweza kupunguza flow kwenye zone Fulani ili mbolea iingie taratibu.