Kumfundisha mwanafumzi jinis ya kusoma kuandika na kuhesabu kwa urahisi
Na kuhakikisha kuwa mwanafunzi ana elewa mazingira yake na jinsi ya kuitumia elim atakayo pewa na wewe
Ujuzi Unaohitajika
Uwe una juankusoma vizuri
kuandika kiswahili na kingereza
Hesabu za kutoa kujumlisha kugawanya kuzidisha na kujumlisha
Mahitaji ya chini ya Kufuzu
Cheti cha form 4
Ufaulu mzuri kwenye masomo ya kingereza kiswahili na hesabu