1.Mawasiliano :Uwezo wa kueleza mawazo kwa ufasaha, kwa maandishi na kwa mazungumzo.
2.Utatuzi wa Changamoto :Kutafuta suluhisho la haraka na lenye tija pale matatizo yanapotokea.
3.Ushirikiano (Teamwork): Uwezo wa kufanya kazi vizuri na watu wenye tabia na tamaduni tofauti.
4.Unyumbulifu (Adaptability): Kuwa tayari kujifunza vitu vipya na kubadilika kulingana na mazingira mapya ya kazi.
5.uwezo wa kutumia mitandao ya kijamii vizur:Facebook,Instagram,TikTok,Twitter(X)
6. Uwezo wa kutumia vifaa vya mawasiliano.simu na kompyuta