Mik Security Company Limited Walinzi Wasomi Ulinzi Bora Mpaka Migodini
1/5
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 2 zilizopita
18 maoni
Mik Security Company Limited Walinzi Wasomi Ulinzi Bora Mpaka Migodini
+1
MIK SECURITY COMPANY LIMITED
Jina la kampuni
Usalama
Aina
Uwasilishaji
Nchini kote
1-7 mchana
TSh 50 - 999,999
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Tel,, P.o.Box 10946 Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese
Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese
Nsanya's Complex
Open
• Jumatatu - Jumapili, 00:01-23:59
Boss, unataka walinzi wasomi?
Njoo MIK Security Company Limited; Nyumba yako, biashara yako, duka, shamba, ofisi, hoteli, bar, guest house, kanisa, godown, apartment, bank, fedha zako, mali zako, mahusiano yako, matukio, mikutano, hafla, tafrija – Vyote vitakuwa salama masaa 24/7, kila week, kila mwezi na kila mwaka.
Tunatumia walinzi wasomi, wasafi, wenye uzoefu wa hali ya juu. Tunaingia mikataba ya kisheria ya kuanzia miezi 3 na kuendelea.
Tunafanya kazi Jumatatu–Jumapili, sisi hatupumziki hata kama kuna sikukuu, Tunaingia Popote pale mpaka migodini, maeneo ya mbali, Tunafanya Kazi ndani na nje ya Tanzania.
Piga simu sasa hivi, Tutumie Sms au Tutafute Whatsapp na Mitandaoni
MIK Security Company Limited – Usalama wako, dhamana yetu.
Kwani nani anazingua hapo?
Kampuni bora ya ulinzi Tanzania ipo - Piga Simu
Mik Security Company Limited!