Juu katika Protini, Mafuta ya Chini, Kikaboni, Ghafi
Mahitaji ya chakula
Nyama ya Nguruwe
Nyama na Kuku
1000g
Uzito
Uwasilishaji
Nchini kote
1-7 mchana
TSh 50 - 999,999
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Tel,, P.o.Box 10946 Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese
Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese
Nsanya's Complex
Open
• Jumatatu - Jumapili, 00:01-23:59
Tunauza Nyama ya Nguruwe ya Kawaida au Iliyosagwa.
Tupo Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese.
Ninakusanya orodha ya wateja wote wanaotaka nyama ya nguruwe ya kawaida au iliyosagwa kwa MIKOA ya Dar es salaam na Pwani TU.
Kama unataka Nyama ya Nguruwe ya Kawaida au iliyosagwa Tuwasiliane
Nyama ya Nguruwe ya kawaida Kilo 1 (1kg) ni Shillingi Elfu kumi na Tano tu (Tshs 15,000/=).
Nyama ya Nguruwe Iliyosagwa Kilo 1 (1Kg) ni Shillingi Elfu Ishirini tu (Tshs 20,000/=).
Nahitaji Wateja wa kuanzia kilo 5, kilo 10, kilo 20, kilo 30, kilo 40, kilo 50, kilo 60, kilo 70, kilo 80, kilo 90, kilo 100, kilo 150, kilo 200 nakuendelea.
Tuwasiliane
+
+
+
+
text, call or whatsapp
Location: Dar es salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Sehemu - Manzese
Dar es salaam na Pwani, Delivery ipo kwa gharama ya Mteja.