OLIVE OIL Ni Mafuta Ya Zaituni Hutibu Changamoto Za Kiafya
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
79 maoni
OLIVE OIL Ni Mafuta Ya Zaituni Hutibu Changamoto Za Kiafya
+1
11
Nyingine
Aina
Haina Mafuta, Pombe Bure
Maalum
Juu katika Protini, Detox, Kikaboni
Mahitaji ya chakula
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
Extra virgin olive oil
mara nyingi ni ajabu kwa mpishi mahili kukosa chupa ya mafuta ya zaituni jikoni kwake. sababu ikiwa mafuta ya zaituni hufanya kila kitu kiwe na ladha nzuri zaidi na yenye kuleta afya nzuri zaidi.
kuna faida kemkem za kiafya za mafuta ya zaituni
1. hutibu kansa ya utumbo mpana na kansa ya matiti
2. huthibi kisukari
3. ugonjwa wa arthritis (hupelekea maungio ya viungo kuvimba na kuuma)
4. hushusha lehemu(cholesterol)
5. kupunguza uzito
6. huboresha mmeng'enyo wa chakula
7. huzuia mawe kwenye kibofu(gallstones)
8. hushusha shinikizo la juu la damu(hypertension)
9. huimarisha kuta za cell
delivery tunafanya kwa garama za mteja