We offer free delivery in Dar es salaam for orders above 1000kg.
Imefungwa sasa
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-19:30
Mchele super halisi uliovunwa kutoka Mbarali, Mbeya katika mashamba ya bonde la Usangu yenye utajiri wa maji na ardhi bikira inayowezesha mpunga kukua kwa wingi na kwa afya njema bila mbolea wala kemikali yoyote. Kila punje imebeba ubora na ladha halisi moja kwa moja kutoka shambani.
Ni mchele mtamu kutafuna na unanukia kabla, wakati na baada ya kupika. Wali wake unachambuka na una ladha halisi inayoburudisha mdomoni mpaka moyoni.