tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Chakula na vinywaji
  4. Nafaka
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 4 yaliyopita
6 maoni

McHele Super Original Kutoka Mbeya

+1
Other
Chapa
Nafaka
Aina
Kikaboni
Mahitaji ya chakula
Mchele Mweupe
Nafaka
1000g
Uzito
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar es salaam, Tanzania
We offer free delivery in Dar es salaam for orders above 1000kg.
Imefungwa sasa
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-19:30
Mchele super halisi uliovunwa kutoka Mbarali, Mbeya katika mashamba ya bonde la Usangu yenye utajiri wa maji na ardhi bikira inayowezesha mpunga kukua kwa wingi na kwa afya njema bila mbolea wala kemikali yoyote. Kila punje imebeba ubora na ladha halisi moja kwa moja kutoka shambani. Ni mchele mtamu kutafuna na unanukia kabla, wakati na baada ya kupika. Wali wake unachambuka na una ladha halisi inayoburudisha mdomoni mpaka moyoni.
McHele Super Original Kutoka MbeyaMcHele Super Original Kutoka MbeyaMcHele Super Original Kutoka Mbeya
TSh 2,999
Inaweza kujadiliwa

TSh 2,850

≥ vipande 50
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif