Mafuta ya mzaituni
Mafuta haya ni muhim sana kuwa nayo nyumbani kwako
Yanatibu maginjwa mengi zaidi
Yanatibu magonjwa yote ya ngozi, kufanya ngozi iwe laini na nyororo
Kutibu fungas ya ngozi,
Hungarish na kujaza nywele
Huzui nywele kukatika
Hutibu magomjwa ya moyo
Huupa ubongo afya na kukufanya usiwe msahaulifu
Hurudisha kumbukumbu
Hutibu maumivu sehem mbalimbali za mwili
Pia niazuri kwa kupikia
Pamoja na hayo kuna kazi nyingi nyengine siwez kuzitaja zote apo
Kwa maelezo zaid wasiliana nasi ukipatie mafuta yako bora