NIPIGIE SIMU, NITUMIE SMS AU NITAFUTE WHATSAPP ILI TUWASILIANE KWA UKARIBU ZAIDI USIOGOPE KUNITAFUTA
Open
• Jumatatu - Jumapili, 00:00-23:59
Faida za ginseng coffee.
1.inaongeza nguvu za kiume
2.inachangamsha ubongo na kurejesha kumbukumbu
3.kukufanya kuwa imara na macho kuona vizuri.
4.inaongeza uwezo wa kusikia
5. inapunguza na kuondoa lehemu mbaya
6. inasaidia mapigo ya moyo na presha.
7.inasaidia kutoa uchovu
8.hutibu bandama ,kuondoa uchovu na sumu mwilini.
9.inatibu maumivu ya tumbo la hedhi,kuvimbiwa na kichefuchefu.
10.inazibua mishipa ya damu ya ateri na veini inayeyusha na kuondoa cholestrol mbaya iliyozidi kwenye mishipa ya damu na mfumo wa moyo.
_ inauzwa tsh 45,000 moja ina pakiti 20