Zinabadili maji yenye #chumvi ,magadi,harufu ,rangi ,kuwa maji safi ,salama na yakunywa...
Machine zina uwezo wakuzalisha lita kuanzia 250/hr
Bei za machine zinazofautiana, hii ni kulingana na matumizi ya mteja pamoja na ugumu wa maji yake.
Gharama za machine nipamoja na ufungaji .