tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Vifaa na zana za kibiashara
  3. Vifaa vya uzalishaji
Dar es Salaam, Kinondoni, 08/06
547 maoni

Mashine Ya Kusaga Na Kukoboa

+1
7
Chapa Mpya
Hali
Vinu vya Kulisha
Aina
6kW
Nguvu ya Magari ya Mill
250kg/h
Uwezo wa Mill ya Kulisha
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Mbezi
Closed
• Jumatatu - Jumapili, 09:00-18:00
Mashine yakusaga na kukoboa 2 in 1 . za mafuta sasa zinapatikana . faida za mashine hii ina vinu viwili kimoja kinakoboa na kingine kinasaga . inarahisisha kazi na kupunguza gharama . inasaga nafaka kavu kama mahindi,mchele,ulezi ,mihogo, na nafaka zote kavu inakoboa mahindi, mpunga, mtama dengu nk inauwezo wakusaga kilo 250kwa saa nzuri sana kwa kazi kwa maeneo ambayo bado hayana huduma ya umeme. bei yake ni tsh 2,400,000/= milioni mbili laki nne mashine iko complete tayari . wateja wa mkoni wanatumiwa kwa uhakika na usalama kwa gharama za mteja . wahi kabla mazigo haijaisha .
Mashine Ya Kusaga Na KukoboaMashine Ya Kusaga Na KukoboaMashine Ya Kusaga Na Kukoboa
TSh 2,600,000
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif