tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Vifaa na zana za kibiashara
  3. Vifaa vya uzalishaji
  4. Mashine za Matibabu ya Maji
Dar es Salaam, Kinondoni, 10/09
3 maoni

Demineralization Plant 500l/H

+1
Mashine za kusafisha Maji
Aina
Chapa Mpya
Hali
Unahitaji maji yenye TDS na ions/minerals zilizopunguzwa kwa kiwango cha juu kwa ajili ya matumizi maalum? DM Plant ni suluhisho sahihi. FAIDA ZA DM PLANT • Huondoa ions/minerals zilizopo kwenye maji na kuzalisha maji yenye purity ya juu. • Husaidia kupunguza conductivity ya maji. • Huzuia madini kuganda (scaling) kwenye vifaa vinavyohitaji maji safi sana. • Inafaa kwa applications zinazohitaji maji yenye ubora maalum. DM PLANT INATUMIKA WAPI? Maabara na Laboratory Viwanda vya Pharmaceutical Viwanda vya Chemical Boiler & Steam Systems Battery Manufacturing Electronics & Manufacturing Hospitali na baadhi ya matumizi ya Medical Viwanda vinavyohitaji Process Water yenye purity ya juu Usichague mashine kwa kubahatisha! Wasiliana nasi
Demineralization Plant 500l/H
TSh 15,000,000
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif