Nachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu Tisa
1/6
+ 1
picha
Dar es Salaam, Kinondoni, 01/06
83 maoni
Nachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu Tisa
+1
3
Nguruwe
Aina
200
Kiasi
Uwasilishaji
Nchini kote
1-7 mchana
TSh 50 - 999,999
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Tel,, P.o.Box 10946 Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese
Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese
Nsanya's Complex
Open
• Jumatatu - Jumapili, 00:01-23:59
2026
tunachukua nguruwe wa kuchinja dar es salaam na pwani.
kila kilo moja (kg 1) utalipwa shillingi elfu tisa cash au kwa simu bila kucheleweshwa.
dar es salaam na pwani tunakuja popote pale kufuata nguruwe kwa kirikuu kama nguruwe hawapo mbali sana na mahali tulipo.
tupo dar es salaam, bunju b, mabwe pande, manzese.
ila kama nguruwe wako wapo mbali sana utawaleta machinjioni dar es salaam, bunju b, mabwe pande, manzese au utagharamia usafiri
ulinzi na usalama upo asilimia 100%
mabanda yapo ya kuweka mifugo kama wapo wengi!
ukumbuke: kichwa, matumbo, mkia, miguu havitalipiwa - vinabaki kwenye machinjio.
huduma hi ni kwa wateja wa dar es salaam na pwani tu
huduma hii ni kila siku. jumatatu mpaka jumapili
mpaka siku za sikukuu
leta nguruwe wako tuchinje upate pesa
Karibu sana
Bei hubadilika na hali ya Soko / uchumi kwa wakati uliopo