tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Wanyama wa shamba
  4. Nguruwe
Dar es Salaam, Kinondoni, 01/06
83 maoni

Nachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu Tisa

+1
3
Nguruwe
Aina
200
Kiasi
Uwasilishaji
Nchini kote
1-7 mchana
TSh 50 - 999,999
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Tel,, P.o.Box 10946 Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese
Dar es Salaam, Bunju B, Mabwe Pande, Manzese Nsanya's Complex
Open
• Jumatatu - Jumapili, 00:01-23:59
2026 tunachukua nguruwe wa kuchinja dar es salaam na pwani. kila kilo moja (kg 1) utalipwa shillingi elfu tisa cash au kwa simu bila kucheleweshwa. dar es salaam na pwani tunakuja popote pale kufuata nguruwe kwa kirikuu kama nguruwe hawapo mbali sana na mahali tulipo. tupo dar es salaam, bunju b, mabwe pande, manzese. ila kama nguruwe wako wapo mbali sana utawaleta machinjioni dar es salaam, bunju b, mabwe pande, manzese au utagharamia usafiri ulinzi na usalama upo asilimia 100% mabanda yapo ya kuweka mifugo kama wapo wengi! ukumbuke: kichwa, matumbo, mkia, miguu havitalipiwa - vinabaki kwenye machinjio. huduma hi ni kwa wateja wa dar es salaam na pwani tu huduma hii ni kila siku. jumatatu mpaka jumapili mpaka siku za sikukuu leta nguruwe wako tuchinje upate pesa Karibu sana Bei hubadilika na hali ya Soko / uchumi kwa wakati uliopo
Nachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu TisaNachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu TisaNachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu TisaNachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu TisaNachukua Nguruwe Wa Kuchinja Kilo Moja Utalipwa TSHS Elfu Tisa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif