1.Utafiti wa sheria na kesi mbalimbali ili kusaidia mawakili.
2.Uandishi wa nyaraka za kisheria kama hati za madai, viapo, na mikataba.
3.Upangaji wa majadala ya kesi, uwekaji wa kumbukumbu, na kufuatilia tarehe za mahakama.
4.Kusikiliza wateja, kuchukua maelezo yao, na kuwapa ushauri wa awali.
5.Nafahamu jinsi ya kusajili nyaraka mahakamani na taratibu za mabaraza mbalimbali.
6.Ujuzi wa usuluhishi wa migogoro nje ya mahakama.