*kiwanja pamoja na nyumba vinauzwa*
*mahali = mbweni malindi dar-salaam*
*eneo liko coast zone (mwambao wa pwani= mita 135 kufika baharini*
*ukubwa = square meter 767 liko barabara ya lami*
*nyumba ina vyumba 4 vya kulala chumba kimoja kina self kuna sitting room, cooking room, dining room*
*eneo limepimwa hati haijatoka bado,lina hati ya serikali za mtaa*
*maji yapo ya dawasco*
*liko barabara ya lami (main road ya kutoka mbweni jkt) limegusa lami*
*umeme upo*
*huduma zote za kijamii ziko karibu na eneo*
*matumizi ya eneo unaweza jenga nyumba ya kuishi, unaweza jenga nyumba za kupangisha au hotel (restaurant)*
,
*bei 130m