Nyumba na eneo linauzwa.
Eneo lina HATI MILIKI za mfumo mpya.
Eneo lipo Boko Dovya karibu na sheli, linatazamana na rami kuu ya Bagamoyo road.
Maji na umeme vipo masaa 24.
Eneo lina nyumba kubwa moja ambayo ina Mater bedroom 1 na chumba cha kawaida kimoja, store, sebule na jiko. Na vyumba vya nje 8, vitano master bedroom na vitatu vya kawaida. Vilevile kuna flemu 7 za biashara.