tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Makazi Inauzwa
Dar es Salaam, Kinondoni, 10/04
2 maoni

Property for Sale at Dar Es Salaam (Boko Dovya)

+1
Ardhi ya Makazi
Aina
1190sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
Maegesho ya Gari, Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Yes
Chaji ya Huduma
50000
Ada ya Agenti
Nyumba na eneo linauzwa. Eneo lina HATI MILIKI za mfumo mpya. Eneo lipo Boko Dovya karibu na sheli, linatazamana na rami kuu ya Bagamoyo road. Maji na umeme vipo masaa 24. Eneo lina nyumba kubwa moja ambayo ina Mater bedroom 1 na chumba cha kawaida kimoja, store, sebule na jiko. Na vyumba vya nje 8, vitano master bedroom na vitatu vya kawaida. Vilevile kuna flemu 7 za biashara.
Property for Sale at Dar Es Salaam (Boko Dovya)Property for Sale at Dar Es Salaam (Boko Dovya)Property for Sale at Dar Es Salaam (Boko Dovya)Property for Sale at Dar Es Salaam (Boko Dovya)
TSh 350,000,000Outright Price
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif