Eneo linauzwa kibaha kwa mathias madina.eneo zuri kwa kilimo.makazi shule,viwanda na ufugaji
Ziko 5 kila ekari moja milioni tano na nusu.
Ndani ya eneo Kuna miti baadhi ya mitiki.kuna mikorosho.migomba.mahindi.michugwa na minazi
Umeme na maji vyote vimefika
Umbali km 6 toka morogoro road
Bara bara ni nzuri mpaka kwenye eneo.inawekwa lami sasa,ujenzi unaendelea076XXXXXXX