Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Nyumba kubwa ya kizamani iko Kibaha Mwendapole, mita 300 kutoka lami ya Moro road... Nje kuna vyumba 7 vya kupangisha na banda la kufugia... eneo ni hekari 1 na sehemu kubwa lina ukuta... maji,umeme na barabara vipo... maongezi yapo - Hii ya baba yangu mzazi