tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Nyumbani, Samani na Vifaa
  3. Vifaa vya jikoni
  4. Watengenezaji Barafu
  5. Vifaa vya jikoni
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 2 yaliyopita
8 maoni

465ltrs Samsung Fridge

+1
Friji
Aina
Fedha
Rangi
Chapa Mpya
Hali
Samsung
Chapa
Umeme
Chanzo cha Nguvu
Friza ya juu
Aina ya jokofu
2
Idadi ya milango
4
Idadi ya Shelves
Bila Dispensa
Mahali pa Dispensa ya Barafu na Maji
Kipima Muda cha Mitambo
Aina ya Defrost
Msimamo wa bure
Aina ya Usakinishaji
A+++
Darasa la Nishati
240V
Volteji
176cm
Urefu
73cm
Kina
Defrost Otomatiki, Zima Kiotomatiki, Kengele ya Mlango-wazi, Mwanga wa Ndani wa Freezer, Crisper Inayodhibitiwa na Unyevu, Mashine ya Kutengeneza Barafu, Nyingine
Vipengele vya Jokofu
130watts
Nguvu
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo Uhuru &Sikukuu street
Nearly to Equity bank, Jd pharmacy Crdb bank uhuru street
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:00-18:00
Dar es Salaam • Ilala
Uhuru st.
Sikuuu /Living stone/Uhuru street
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-15:00
SAMSUNG REFRIGERATOR MODEL : RT47CG6631B1 UJAZO: LITA 465 Hii ni new model kutoka samsung ambayo ina warrant ya miaka 20 kwenye compressor na miaka 2 for the product yaani fridge kama fridge. Ina FEATURES muhimu zifuatazo : 1. Multi air flow, Litao ubaridi unaozunguka na kugandisha vitu haraka sana 2.Deodorizer, Ina kifaa ndani ambayo inasadia fridge lako kubakia na hewa safi mdaa 3.Tempered class sheleves, Ina shelfu imara kabisa ambazo zinabeba ujazo mkubwa wa chakula bila kuvunjika 4.Twisted ice maker, Ina boxi ambayo inakusadia wewe ndugu mteja kutengeneza mabarafu madogo madogo kwa ajili ya vinywaji 5.Smarthing, Unaweza kucontrol fridge kwa kutumia simu ya mkononi 6.No frost , lina gandisha chakula na haliweki uchafu wa mabarafu wa aina yoyote
465ltrs Samsung Fridge465ltrs Samsung Fridge
TSh 2,500,000
1 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif