Defrost Otomatiki, Zima Kiotomatiki, Onyesho la Dijitali, Kengele ya Mlango-wazi, Mwanga wa Ndani wa Freezer, Uhifadhi wa mlango wa Gallon, Crisper Inayodhibitiwa na Unyevu, Mashine ya Kutengeneza Barafu, Nyingine
Vipengele vya Jokofu
180watts
Nguvu
Uwasilishaji
Dar es Salaam
1 mchana
TSh 20,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Ilala
Kariakoo Uhuru &Sikukuu street
Nearly to Equity bank, Jd pharmacy Crdb bank uhuru street
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:00-18:00
Dar es Salaam • Ilala
Uhuru st.
Sikuuu /Living stone/Uhuru street
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-15:00
*Kwanini unahitaji kutumia aina hii ya fridge kutoka Samsung*
*MODEL* : RT49K5552BS
*LITRE CAPACITY* : 385
*COLOR* : BLACK
Ina warranty ya compressor kwa miaka 20
Inapunguza matumizi makubwa ya umeme kwani inatumia teknolojia ya Digital inverter technology (DIT)
Haitoi mabarafu (non-frost), hugandisha vitu kwa ubaridi unaohitajika bila kutoa barafu
inauwezo wa kubadilika mara tano kwa kadri ya matumizi yako (five conversion modes).
inatunza ubaridi kwa masaa 8 mpaka 12 pindi umeme unapokatika, kwani inakifaa kinaitwa cool pack ndicho kinachofanya kazi hiyo.
inatenganisha harufu za vyakula ndani ya friji lako na kuifanya kuwa na harufu moja ambayo ni nzuri (Deodorizing filter)
inauwezo wa kubeba vyakula hadi kilo 150kwenye shelf
Ina Twist ice maker inayoweza kukusaidia kutengeneza vibarafu kutumia unapokunywa kinywaji chako.