Nyumba inauzwa ina apartment mbili kila moja ina vyumba 3 vya kulala
ipo kimara temboni
bei tsh milion 340 maongezi yapo
umiliki: hati miliki ya wizara
ukubwa wa eneo sqm 1500
apartment zipo mbili kila moja ina;
vyumba 3 vya kulala
vyumba vyote master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
fenced and gate
maji yapo
umeme upo
alluminium window
full tiles
gypsum
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 50,000/=