Nyumba mbili (2) zinauzwa kitunda mwisho (balabala ya kinyantira)
jumla ya vyumba vya kulala ni 6
nyumba ya kwanza ni vyumba v3 kimoja masta
dining siting jiko
tailz jipsam umeme maji
nyumba ya pili ina vyumba v3 na choo cha nje
full perving
parking ipo
gari moja had mjin
unatembea tu had stend
eneo sqm 360 (makadilio)