Nyumba inauzwa
ipo mbezi luguluni-kwembe
bei tsh milioni 140 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 2000
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 5 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
jiko kumbwa
kitchen
public toilet
maji yapo ya dawasa
umeme upo
pia kuna servint cotta
tatu
chumba master sebule
na jiko kumbwa
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=