Nyumba (binafsi) inauzwa madale mbopo mabanda ya kuku
plot size: sqm 2000
bei: tsh milioni 160 (maongezi)
umiliki: mkataba wa mauziano, pameshapimwa hati itatoka kwa jina la mteja
sifa za nyumba:-
-vyumba vitatu vya kulala
-vyumba vyote ni self contained
-sebule
-dinning
-jiko na store
-choo cha public
Ricardo