* NYUMBA INAUZWA – TABATA KIFURU (Kwa Unju)*
* Bei:* TSh Milioni 70 (maongezi yapo)
* Ukubwa wa Eneo:* 400 sqm
* Umbali:* 2km kutoka barabara kuu
* Sifa za Nyumba:*
- Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni master)
- Sebule
- Jiko
- Choo na bafu
- A/C tayari imefungwa
- Fremu 2 za biashara (hazijapaua) – nafasi ya uwekezaji
* Huduma:*
- Maji na umeme vipo
Nyumba ipo katika mazingira tulivu, salama na karibu na huduma muhimu. Fursa nzuri kwa makazi na biashara.
*Wasiliana nasi kwa kutembelea site au maelezo zaidi.*