H.nyumba inauzwa milioni 55 maongezi yapo sana sana ipo mbezi mwisho makabe (msakuzi centar) - dar es salaam - tanzania
vyumba viwili vya kulala
master bedroom
sitting room
dining room
◇ kitchen
public toilet
ukubwa wa kiwanja: sqmt 460
◇document sales agreement (hati ya mauziano ya selikali za mitaa)
kiwanja kimepimwa hati miliki itatoka kwa jina la mteja atakae nunua
◇ maji safi dawasco umeme vyote vipo kwenye nyumba
◇nyumba ipo mtaa mzuri sana majirani wamepangika vyema sana
√usafiri bajaji=1000
√daladala =700
√ukishuka unatembea tu