Nyumba inauzwa
ipo tegeta namanga
bei tsh milion 500 naongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 500
vyumba 5 vya kulala
master bedroom 4
sitting room 2
dinning room
kitchen
store
public toilet
full acc
pia kuna servant quarter ya chumba kimoja na store na choo cha nje
n.b: kuna kiwanja cha ziada pembeni yake unaongezewa cha sqm 500
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba tsh 30,000/=