Nyumba ya ghorofa inauzwa
ipo salasala
bei tsh milioni 350 mazungumzo yapo
ukubwa wa eneo sqm 900
umiliki:hati miliki
vyumba 4 vya kulala
kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
store
public toilet
umeme upo
fenced and gate
pia kuna chumba kimoja cha nje
gharama ya kupelekwa kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=