*eneo pamoja na nyumba vinauzwa*
*mahali = mbweni dar-salaam maputo*
*eneo liko coast zone (mwambao wa pwani= mita 135 kufika baharini*
*ukubwa = square meter 757 liko barabara ya lami*
*nyumba ina vyumba 4 vya kulala chumba kimoja kina self kuna sitting room, cooking room, dining room*
*eneo limepimwa hati haijatoka bado*
*liko barabara ya lami (main road ya kutoka mbweni jkt) *
*bei 130m maongezi yapo*